LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mikusanyiko marufuku Sikukuu ya Pasaka- RC Mwanza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella ametoa salamu za sikukuu ya Pasaka huku akitumia fursa hiyo kuwasihi wananchi kujiepusha na mikusanyiko isiyo ya lazima katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya Corona.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.