Agizo la JPM latekelezwa Mwanza “Halmashauri zikajifunze”
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Halmashauri mbalimbali
nchini Tanzania zimehimizwa kufika mkoani Mwanza ili kujifunza namna ya
kutekeleza kwa vitendo agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli la kuboresha
miundombinu ya wafanyabiashara wadogo.
Kauli hiyo imetolewa
Aprili 09, 2020 na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la KIVULINI, Yassin Ally
kufuatia shirika hilo kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kusaidia
upatikanaji wa fedha kwa ajili ya uboreshaji wa masoko ya wafanyabiashara
wadogo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela pamoja na Jiji la Mwanza.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Tazama BMG TV hapa chini
PIA SOMA>>> Ujenzi wa Soko la Kisasa Mirongo Jiji la Mwanza
No comments: