ZUNGU “wachimbaji wadogo magoli hayatimii nyumbani”
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa
Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu akitoa nasaha zake Mei 20, 2020
kwenye ufunguzi wa zoezi la kukabidhi cheki za malipo ya fidia ya ardhi kwa
wakazi 1,639 wa Nyamongo ili kupisha shughuli za mgoni.
#BMGHabari
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu (kushoto) akiwa pamoja na Waziri wa Madini, Doto Biteko (kulia) walipotembelea eneo la kuhifadhi maji sumu (TFS) katika mgodi wa Barrick North Mara na kuridhishwa na hatua za mgodi huo za kuhakikisha maji hayo hayawafikii wananchi.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: