LIVE STREAM ADS

Header Ads

Waziri Biteko azungumza na wafanyabiashara wa Madini

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Waziri wa Madini, Doto Biteko (kulia) akizungumza na wachimbaji na wafanyabiashara wa madini mkoani Geita Juni 04, 2020 baada ya kuhitimisha ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Mji wa Geita kupitia mpango wa fedha za uwajibikaji kwa jamii (Community Social Responsibility- CSR) kutoka mgodi wa GGM.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.