LIVE STREAM ADS

Header Ads

Benki ya CRDB yawakosha wakazi wa Meatu mkoani Simiyu

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Wakazi wa Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu wakiwemo wafanyabiashara pamoja na watumishi mbalimbali wameanza kunufaika na kuduma za kibenki karibu yao baada ya benki ya CRDB kufungua tawi (Mobile Banking) wilayani humo. 

Wakizungumza Septemba 11, 2020 kwenye mkutano wa waalimu wilayani Meatu kwa ajili ya kutambulisha huduma zinazotolewa na benki ya CRDB, baadhi ya washiriki walisema ujio wa benki hiyo utawondolea adha ya kusafiri umbali mrefu hadi wilaya jirani kufuata huduma mbalimbali za kibenki ikiwemo mikopo.
#BMGHabari
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.