WASICHANA ELFU 48 WAPATA UFADHILI WA MASOMO KUTOKA CAMFED
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkurugenzi wa shirika hilo, Lydia Wilbart aliyasema hayo jijini Mwanza kwenye kilele cha mafunzo kwa wasichana walioshindwa kuhitimu elimu ya kidato cha nne kutokana na changamoto mbalimbali yaliyolenga kuwajengea uwezo ili kurejea kwenye mfumo wa elimu kupitia vyuo vya ufundi.
#BMGHabari
Mkurugenzi wa shirika la CAMFED, Lydia Wilbard akizungumza wakati wa kilele cha mafunzo ya kuwajengea uwezo wasichana walioshindwa kuhitimu kidato cha nne.
Mratibu Elimu ya Afya kwa Umma Mkoa Mwanza, Denis Kashaija akihitimisha mafunzo kwa wasichana walioshindwa kuhitimu kidato cha nne yaliyoandaliwa na shirika la CAMFED.
Mafunzo hayo yalifanyika jijini Mwanza.
Picha ya pamoja baada ya mafunzo hayo yaliyofanyika Gandhi Hall jijini Mwanza.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini
SOMA>>> Habari kuhusiana na CAMFED
No comments: