LIVE STREAM ADS

Header Ads

Loh! BITEKO ashtukia huu mchezo, weeeh ufanye hivyo, kesho haupo wizarani

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wafanyabiashara wakubwa (Dealers) na wadogo (Brokers) wa madini Mkoa Geita muda mfupi baada ya kukagua mifumo ya uendeshaji biashara katika soko kuu la madini mkoani humo.
Waziri wa Madini, Doto Biteko na viongozi mbalimbali wakiangalia mifumo ya uendeshaji biashara katika soko kuu la madini mkoani Geita.
Waziri wa Madini, Doto Biteko akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyabiashara wakubwa na wadogo wa madini mkoani Geita.
Waziri wa Madini, Doto Biteko akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyabiashara wa madini mkoani Geita.
Waziri wa Madini, Doto Biteko.
Viongozi mbalimbali meza kuu.
Wafanyabiashara mkoani Geita wakieleza kero zao kwa Waziri wa Madini, Doto Biteko.
Wafanyabiashara wa madini mkoani Geita.
Wafanyabiashara wa madini mkoani Geita.
Waziri wa Madini, Doto Biteko akiangalia mtiririko wa uuzaji na ununuaji madini katika soko kuu la madini mkoani Geita.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.