Hatuwezi kukubali "wanadhani NHIF ni shamba la bibi"- KONGA
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkurugenzi
Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Benard Konga amekutana na watoa
huduma za afya mkoani Mwanza ili kuwekana sawa kuhusiana na madai yanayostahili
kulipwa baada ya wanachama wa mfuko huo kupata matibabu.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Hatuna ugomvi na watoa huduma za afyaas
No comments: