Tumeumizwa.!! Tumuenzi Hayati Magufuli kwa Vitendo, si maneno
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Viongozi wa Kamati ya Amani Mkoa Mwanza wamesema watanzania wanapaswa kumuenzi Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwa luuyaishi na kuyatekeleza kwa vitendo mayo yake.
Wenyeviti Wenza Kamati ya Amani Mkoa Mwanza, Askofu Charles Sekelwa (kulia) pamoja na Sheikh Hassan Kabeke (kushoto).
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: