RC Chalamila aibukia TRA, waite wanaodaiwa, wasikie 'toni' yangu
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, Albert Chalamila Mei 27, 2021 amefika katika ofisi za Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA) Mkoa Mwanza na kuzungumza na watumishi wa mamlaka hiyo. Pia
ameagiza kukutana na wafanyabiashara wenye madeni.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: