LIVE STREAM ADS

Header Ads

Bad Boy Timz kuja kivingine

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Online Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Alifanya vizuri na kazi kadhaa ikiwemo Check and Balance, Mj, Complete me ,Move pamoja na Have Fun lakini hivi karibuni ameachia wimbo wake uitwao Iz going unaoendelea kufanya vizuri katika mahadhi ya Afro beat akiwa anawakilisha nchini Nigeria.

Bad Boy Timz ni moja kati ya msanii anayefanya vizuri nchini Nigeria huku akiwa anakuja vizuri zaidi kuliteka soko la muziki kimataifa zaidi.

Timz ana mpango wa kuachia kazi mpya hivi karibuni ikiwa imeambatana na zawadi nyingine kubwa zaidi kwa mashabiki zake kwa maelezo zaidi fuatilia ukurasa wake wa instagram pamoja na kufanya ku subscribe kupitia chaneli yake ya youtube.@badboytimz
Tazama Video ya Is Going ya Bad Boy Timz

No comments:

Powered by Blogger.