Kazi za nyumbani, mtego hatari kwa wasichana kutoka vijijini
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Online Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Wafanyakazi wa nyumbani wamekuwa wahanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia kote duniani, wengi wao wakiwa ni wasichana wadogo kutoka vijijini.
Katika makala hii, utamsikia mmoja wa wafanyakazi wa nyumbani nchini Tanzania aliyepitia ukatili wa kingono baada ya kubakwa na bosi wake.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi hapa
No comments: