CHADEMA Kanda ya Victoria wamtaka tena Wenje
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com

Viongozi na wajumbe hao wapatao 54 kati ya 79 wamefika katika ofisi za Kanda ya Ziwa Victoria zilizopo Nyegezi jijini Mwanza huku wakielezea kuwa na imani na Wenje.
"Wenje amekuwa mwaminifu sana kwenye chama chetu, hata katika nyakati ngumu hakuonesha usaliti, aliendelea kulinda heshima ya CHADEMA hivyo tunamtaka agombee tena ndiyo maana tumeamua kumchangia na kumchukulia fomu" amesema Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA Mkoa Mwanza, Japheth Nungwana.
No comments: