Wahitimu wa Mafunzo ya Ulinzi na Usalama Kutoka Kampuni ya KK Security. Kampuni hii ina Utaratibu wa Kutoa Mafunzo kwa Maaskari wake kabla ya Kuwaajiri, jambo ambalo linapaswa kuigwa na Kampuni nyingine za Ulinzi kutoka ndani na nje ya Nchi.Hii ilikuwa leo Katika Uwanja Mkongwe wa Nyamagana Mkoani Mwanza. UTOAJI WA MAFUNZO KWA MAASKARI WA KK SECURITY KUNANIFANYA KUULIZA "KK SECURITY KUNANI? MBONA NYIE JAMBO HILI MMELIMDUMU? KAMPUNI NYINGINE MNASHINDWA NINI? NA MATOKEO YAKE MNAAJIRI MAASKARI KIENYEJI ENYEJI"? KAMA KUNA KAMPUNI NYINGINE INAYOFANYA HIVI BASI INASTAHILI PONGEZI, LAKINI NIJUAVYO KAMPUNI NYINGI ZINAAJIRI KWA KUOKOTEZA OKOTEZA. KWA HILI JIFUNZENI. NA KAMA SI KUTOA MAFUNZO, BASI AJIRI MTU AMBAE AMEPITIA MAFUNZO YA JWTZ, JKT, MGAMBO NK. Tazama Picha zote kuhusiana na kilichojili katika Uwanja huo wa Nyamagana. |
No comments: