NI KAMA MOVIE YA RAMBO VILE, LAKINI NI UKWELI MAJAMBAZI YAMELISHAMBULIA BASI LA MAHABUSU NA KUFANIKIWA...
Wananchi
wakiliangalia basi la mahabusu la Jeshi la Magereza namba MT 0046,
ambalo lilishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana na kudaiwa
kumpora mahabusu mmoja na kutokomea naye leo katika Barabara ya Old
Bagamoyo, karibu na Mayfair, Mikocheni, Dar es Salaam. Mahabusu wawili
walijeruhiwa na askari mmoja wa magereza.
Sehemu ya nyuma ya basi hilo ikiwa wazi baada kioo kusambaratishwa na kufanikiwa kumpitishia mwenzao
No comments: