Kennysalfes Salvatory, Mwenyekiti wa The Voice OF Youth Club-Mwanza.
Mwenye elimu ni yeyote asiyemjinga katika eneo flani[yaani
uelewa/ufahamu juu ya matumizi n.k ya kitu ama jambo flani] elimu si
lazima itolewe darasani ndiyo maana kuna kitu kinaitwa elimu dunia,hivyo
mtu akikuita mjinga kabla hujakasirika furahia ila umuulize mimi mjinga
eneo gani?
Kwa kuwa nimekwambia mtu kuwa mjinga ni hali ya kutokuwa na
uelewa/ufahamu wa jambo ama kitu flani.2 MSOMI NI MTU MWENYE UJUZI/TAALUMA
FLAN I juu ya jambo flani,kwa maana nyingine huwezi kuitwa msomi kama
hujabobea katika tasnia husika,inaweza ikawa katika mambo ya
siasa,uhandisi,kilimo,sayansi,dini n.k,ndiyo maana makazini watu
huajiliwa kwa utalamu wao[yaani taaluma zao]
Ngoja niseme hivi ili
uelewe zaidi,wasomi wako kwa ajiri ya kutatua matatizo kwa kuwa
wamebobea katika maeneo husika mfano madaktari..ndiyo maana wakati flani
unaweza kusikia tuna uhaba wa wataalamu,wenye elimu ni wengi kuliko
wataalamu,NAOMBA NIMALIZE HIVI,MTU ANAWEZA KUWA NA UELEWA WA SHERIA
LAKINI ASIITWE MWANASHERIA...
UMENIELEWA MPENDWA? Haya nikupe na huu
mfano wa mwisho,kama ukiwa hujui kutumia kompyuta kwa lugha nyepesi
niseme wewe ni mjinga katika eneo hilo la matumizi ya kompyuta,lakini
ukipata maelekezo ya matumizi yake hautaitwa tena mjinga ila utaitwa una
una ufahamu yaani elimu ya kompyuta lakini kamwe hauwezi kuitwa
MTALAAMU WA KOMPYUTA.
Namaliza kwa mnyumbuisho wa maneno yafuatayo.
1.ELIMU-elimika-elimisha-elimishwa. 2.SOMO-soma- someka- someshwa-somea- USOMI- MSOMI. 3.TAALAMU-taluma-mtalam.AKSANTENI SANA KWA KUNIELEWA,NA PIA NAWASHUKURUNI KWA KUWA MNANIANDAA KUWA KIONGOZI BORA WAKATI UKIWADIA.
Na: Kennysalfes Salvatory.
|
No comments: