Baada ya Wajasiriamali Mkoani mwanza Kushindanishwa
katika Makundi Manne juu ya Uandaaji wa Wazo/Mpango ya Biashara chini ya
Usimamizi wa PSP Mwezeshaji Consultancy kwa Kushirikiana na Taasisi ya
AIESEC, Mshindi anatarajiwa kupatika Jumamosi hii ya July 26 kuanzia saa
Saba mchana hadi saa Kumi Alasiri katika Ukumbi wa Mwanjonde Lecture
uliopo katika Chuo Kikuu cha SAUT, ambapo pia kutakuwa na Zawadi kwa
Washindi ambazo zitakabidhiwa na Mgeni Rasmi. Mbali na hayo pia Siku
hiyo Wajasiriamali wadogo, wa Kati na Wakubwa watapata fursa ya Kupata
elimu ya Biashara Bure kabisa....kwa Ufupi ni Kwamba HAKUNA KIINGILIO. |
No comments: