Hebu fikiria siku ile alivyokutia aibu pale mlimana city tena
kwa upendo tu kwake, japo mligombana lakini ulinyanyuka kwenye kiti kwenda
kumtuza pesa, lakini mtoto yule wa kimanyema asivyokuwa na shukran
akakuhaibisha mbele za watu maskin na uzuri wako ukatoka kichwa chini kwa aibu.
Lakin haikupita miezi mingi nikasikia mmerudiana sikujua
alikupa maneno gan matamu mpaka ukalainika. Hebu kumbuka alivyokuponda sana
kwenye media kwamba hauna kitu, Kwamba ni yeye na Penina wake tu lakin umesahau
yote na sasa upo naye unaonyeha jinsi gani unavyompenda.lakin kumbuka waswahili
wanasema penda unapopendwa.Hebu mwangalie Jakline ntabaliwe aka kyln mwenzio
hakupenda kuteseka na moyo kaenda kujituliza kwa yule mzee.
Japo wengine wanasema kafuata pesa lakin si unajua waswahili
tumeubwa kuongea. Ona walivyotulia na watoto wao mapacha nawe wema ebu soma
alama za nyakati. Umri unaenda achana na
hao mabrazamen wasiojali thaman yako, wanakuchezea alafu kesho ukishazeeka
wanakuacha.
Hebu muonee tamaa mwenzio Nancy Sumari kaolewa na
sasa katulia kwa mumewe, nawe waza kuwa na familia yako na mumeo, huyo brazamen
hana nia ya kukuoa ww. Leo naishia hapa maana kalamu yangu imeisha wino ngoje niende
dukan nikanunue nitaendelea siku ukipata mume wa kweli.
MWISHO
NB : Kama nimegusa ww shabiki wa wema sorry…
Na: David Chicharito Kagawa.
|
No comments: