Aidha Wadau
hao wameimbo Mamlaka ya Utabiri wa Hali ya Hewa nchini (TMA) Kuendelea
kushirikiana na wadau wengine kama vyombo vya habari, Mitandao ya Kijamii, Mbao
za Matangazo kuanzia ngazi za Mitaa na Vijiji pamoja na Mfumo wa njia ya Simu
ili kuendelea kutoa taarifa za Utabiri wa hali ya hewa kwa wakati zaidi.
Warsha ya
Uboreshaji wa huduma za hali ya hewa katika maeneo ya Ziwa Victoria ambayo
imewahusisha wadau mbalimbali wakiwemo wavuvi, Wakulima, Wasafirishaji wa
Majini, SUMATRA na Vyombo vya Habari imeanza leo Agost 18 katika Ukumbi wa
Hotel ya Gold Crest Jijini Mwanza na inatarajia kufikia tamati kesho kutwa
Agost 20 mwaka huu, ambapo warsha hiyo imeandaliwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA.
|
No comments: