Kwa ngoma zilizoachia hivi karibuni hususani Jijini Mwanza, Ngoma hii imeongoza kwa kuwa ngoma inayoombwa zaidi na wasikilizaji katika vituo mbalimbali vya Radio Jijini Mwanza na inakoelekea ni kubaya maana itapoteza mbaya.
Mshikaji anasema ana ndoto za kuendelea kufanya kazi nzuri na bora na kwa hivi sasa yuko katika harakati za kutafuta warimbwende wa kuweza kung’arisha kichupa cha ngoma hiyo, hivyo kama wewe unajua ni mrimbwende na unaweza kutisha katika ngoma hiyo, basi mcheki mshikaji kwa namba 0759 21 19 77 ili mpige nae Kichupa.
ISIKILIZE NA KUIDOWNLOAD NGOMA HIYO HAPA CHINI.
|
No comments: