Wameeleza
kwamba barabara hiyo kwa miaka mingi imekuwa kama mradi wa baadhi ya Watu
Jijini Mwanza, kwa kuwa marekebisho ambayo yamekuwa yakifanyika yamekuwa
hayadumu, hali ambayo imekuwa ikisababisha kero kubwa kwa watumiaji wake
hususani madereva wa magari kutokana na mashimo ambayo yamekuwa yakitokea
katika kipindi kifupi baada ya ukarabati kufanyika.
Mtanzania
Media imeshuhudia ukarabati mkubwa ukifanyika katika barabara hiyo na Kampuni
ya Jasco, ambapo ukarabati wake umeanza katika hatua ya mwanzo kabisa baada ya
mkandarasi huyo kuitifua upya na kuanza kuijanza moram upya kabla ya kuweka
lami.
|
No comments: