Mhina
aliyasema hayo Mkoani Mwanza wakati akijionea shughuli za uondoaji wa Gugu Maji
kando Kando ya Ziwa Victoria, zinazofanywa na Mradi wa Udhibiti gugu maji
kutoka Kata ya Kirumba, zinazoendelea kando kando mwa ziwa hilo eneo la Nera
Jijini Mwanza.
Ili
kufanikisha mapambano dhini ya gugu maji katika Ziwa Victoria na Ukanda wote wa
nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhina aliwataka wananchi kushirikiana na
viongozi wa Serikali na taasisi mbalimbali katika kulilinda ziwa Victoria ikiwa
ni pamoja na kusitisha shughuli zote za kilimo kando kando ya Ziwa Victoria.
|
No comments: