Makundi hayo
yalikuwa ni pamoja na Watoto (Kutoka baraza la watoto Mkoani Mwanza), Vijana
(Wa Kike na Kiume), Wanafunzi, Watendaji wa Serikali, Watafiti Vijana Wawakilishi
wa Watoto wanaoishi Mitaani na Vyombo vya Habari ambapo ulikuwa umelenga
kuchochea mabadiliko ya kimaendeleo miongoni mwa makundi hayo.
Wakizungungumza
jana katika Kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza
kwa ajili ya kujadili Tathmini ya Mradi huo, Wawakilishi wa Makundi yote yaliyoshirikishwa
walishauri kwamba ni vyema mradi huo ukaendelezwa baada ya kuwa majaribio yake
yamefikia tamati na kuonekana kuzaa matunda mema.
|
No comments: