Ambapo
Mifuko hiyo ni Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Mafao ya
Kustaafu (GEPF), Mfuko wa Pensheni wa (PPF), Mfuko wa Pensheni wa (LAPF), Mfuko
wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
(NHIF) ambapo kila mwananchi au mtumishi anayo fursa ya kuchagua mfuko
anaopenda kujiunga nao.
Hifadhi ya
Jamii inamuwezesha mwananchi kuishi maisha yenye staha kwa kumuwezesha kupata
huduma za msingi pale hana kipato kutokana na sababu mbalimbali. Ambapo huduma
hizo zinaweza kupatikana kupitia mafao mbalimbali kama vile mafao ya uzee,
kifo, ugonjwa, uzazi n.k
|
No comments: