WANANCHI WAFURAHISHWA NA HUDUMA ZA AFYA ZINAZOTOLEWA NA KITUO CHA AFYA AGA KHAN MKOANI MWANZA.
Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza Amina Masenza (Mwenye Miwani) akisaini kitabu cha mahudhurio katika mabanda yaliyopo Magomeni Kirumba inakofanyika Kampeni ya Mwanamke na Uchumi. |
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana akikagua bidhaa zilizo katika mabanda ya Wanawake wajasiriamali. |
Bidhaa za Akina Mama Wajasiriamali. |
Bidhaa za Akina Mama Wajasiriamali. |
"Hapa wanafurahia ngoma kutoka Bujora" |
Ngoma kutoka Katika Kundi la Bujora ilikuwa ikitumbuiza pia. |
"Hano ndangee Mkunguu Maghena ndaleeee x4" |
No comments: