WANANCHI WAFURAHISHWA NA HUDUMA ZA AFYA ZINAZOTOLEWA NA KITUO CHA AFYA AGA KHAN MKOANI MWANZA.
| Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza Amina Masenza (Mwenye Miwani) akisaini kitabu cha mahudhurio katika mabanda yaliyopo Magomeni Kirumba inakofanyika Kampeni ya Mwanamke na Uchumi. |
| Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana akikagua bidhaa zilizo katika mabanda ya Wanawake wajasiriamali. |
| Bidhaa za Akina Mama Wajasiriamali. |
| Bidhaa za Akina Mama Wajasiriamali. |
| "Hapa wanafurahia ngoma kutoka Bujora" |
| Ngoma kutoka Katika Kundi la Bujora ilikuwa ikitumbuiza pia. |
| "Hano ndangee Mkunguu Maghena ndaleeee x4" |
No comments: