MAONYESHO YA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI YAFUNGULIWA RASMI JIJINI MWANZA.
| "HATOKI MTU HAPA, AIRTEL YATOSHA" Ndivyo Mtanzania Media ilivyokaribishwa katika banda la Airtel. |
| Simu bomba na Kali zinazopatikana banda la Airtel katika Maonyesho hayo. |
| Balozi wa China nchini Tanzania Li Xuhang akisaini katika kitabu cha mahudhurio wakati akitembea kukagua mabanda ya maonyesho. |
| Mtalaamu wa Tiba Asilia ya Binadamu Top Manyota. Fika Uwanja wa Nyamagana ili kuonana nae live. |
| Hapa ni Mambo ya Viatu tena kwa bei nafuu. |
| Hapa Mambo ya Majiko ya Gesi ndo mahala pake. Oryx wanawakilisha kama kawaida ndani ya Nyamagana.Pia kuna ofa kwa ajili yako. |
| "Wahi Ofa yako kabla Maonyesho hayajaisha" |
| "Bring Bring ni Hapa. Njoo upendeze kwa bei nafuu" |
| Ukiingia Nyamagana kama umeambatana na Mmeo/ Mpenzi au Mchumba hakikisha unafika katika banda la TRESSA ili upendeze. |
| Balozi wa China nchini Tanzania Li Xuhang (katikati) akikagua mabanda. |
| Taswira ya Uwanja wa Nyamagana jinsi ilivyo. |
No comments: