MAONYESHO YA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI YAFUNGULIWA RASMI JIJINI MWANZA.
"HATOKI MTU HAPA, AIRTEL YATOSHA" Ndivyo Mtanzania Media ilivyokaribishwa katika banda la Airtel. |
Simu bomba na Kali zinazopatikana banda la Airtel katika Maonyesho hayo. |
Balozi wa China nchini Tanzania Li Xuhang akisaini katika kitabu cha mahudhurio wakati akitembea kukagua mabanda ya maonyesho. |
Mtalaamu wa Tiba Asilia ya Binadamu Top Manyota. Fika Uwanja wa Nyamagana ili kuonana nae live. |
Hapa ni Mambo ya Viatu tena kwa bei nafuu. |
Hapa Mambo ya Majiko ya Gesi ndo mahala pake. Oryx wanawakilisha kama kawaida ndani ya Nyamagana.Pia kuna ofa kwa ajili yako. |
"Wahi Ofa yako kabla Maonyesho hayajaisha" |
"Bring Bring ni Hapa. Njoo upendeze kwa bei nafuu" |
Ukiingia Nyamagana kama umeambatana na Mmeo/ Mpenzi au Mchumba hakikisha unafika katika banda la TRESSA ili upendeze. |
Balozi wa China nchini Tanzania Li Xuhang (katikati) akikagua mabanda. |
Taswira ya Uwanja wa Nyamagana jinsi ilivyo. |
No comments: