Amina Masenza ambae ni Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza.
Mafunzo
mengine ni pamoja na Afya bora kwa mwanamke na Uchumi imara ambapo wanawake
wanapewa elimu katika kutatua changamoto za magonjwa ya wanawake ambayo ni
kikwazo katika shughuli zao.
Kwa Mkoa wa
Mwanza Kampeni hiyo ya Mwanamke na Uchumi imewajumuisha Wanawake wajasiriamali
kutoka Wilaya za Magu, Ilemela na Nyamagana huku pia Mikoa ya Kigoma, Tanga,
Ruvuma, Dodoma, Pwana na Lindi ikitarajiwa kunufaika na Kampeni hiyo hapa
nchini.
|
No comments: