LIVE STREAM ADS

Header Ads

RAUL GONZALEZ AMUINULIA MESSI MIKONO JUU.

Na:Genya Richard
Mchezaji wa zamani wa timu ya Real Madrid Raul Gonzalez amemuiinulia mikono juu mshambuliaji wa Barcelona Lionel Mess kwa kile alichikisema kuwa amecheza na wachezaji wengi zaidi ambao ni pamoja na Ronaldo, Zidane, Figo na wachezaji wengine lakini kwake mshambuliaji Messi ndie mchezaji wa kipekee anaemkubali katika soka.

Gonzalez amesema amebainisha mbali na Messi, huenda mchezaji Baggio au Ryan Giggis ndio wachezaji anaoweza kuwafananisha na Messi japo hawawezi amekiri wazi kuwa hawawezi kumfikia Messi.


Itakumbukwa kuwa Messi alishawahi kumsifia Gonzalez kuwa ni mchezaji mwenye upendo na wanamichezo wengine ambapo pia aliwahi kumpongeza alipotundika mabao katika lango la Barcelona.

No comments:

Powered by Blogger.