SIKILIZA KIPINDI CHA "JUKWAA LANGU" SEPTEMBA 21,2015 MADA KUU IKIWA NI UCHAGUZI MKUU NCHINI.
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York. Kutoka Tanzania tuliungana na Richard Kasesela
Kutoka Tanzania tuliungana na Blogger Mr Verbs wa www.habarika24.blogspot.com, pia kulikuwa na Dr Patrick Nhigula, Hajji Khamis na Emil Mutta na Kennedy
No comments: