NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA IDARA YA JESHI LA POLISI.
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, akizungumza na
wajumbe wa mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi (hawapo
pichani), wakati alipoalikwa kufunga mkutano huo uliofanyika Chuo cha Taaluma ya
Polisi,Kilwa Road,jijini Dar es Salaam
Naibu
Katibu wa Baraza la Wafanyakazi, Stanford Busumbiro (kulia) akimpongeza Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi, John Mngodo, muda mfupi baada ya kumaliza kufunga mkutano wa
Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi uliofanyika katika Chuo cha
Taaluma ya Polisi,Kilwa Road,jijini Dar es Salaam.
Mkuu
wa Chuo cha Taaluma ya Polisi,DCP Ally Lugendo, akizungumza wakati wa kufunga
mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi uliofanyika Chuo
Cha Taaluma yaPolisi,Kilwa Road, jijini Dar es Salaam
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi ,John Mngodo (katikati), akiwasili Chuo cha Taaluma ya Polisi kilichopo
Kilwa Road, jijini Dar es salaam kufunga mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la
Idara ya Jeshi la Polisi.wengine waliongozana na Naibu ni viongozi wa Baraza
hilo.
(Picha zote na Abubakari Akida,Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Imeandaliwa
na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali-Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
No comments: