LIVE STREAM ADS

Header Ads

SALAMU ZA MWAKA MPYA 2016 KUTOKA KWA MWENYEKITI WA UMOJA WA WAENDESHA PIKIPIKI MKOA WA MWANZA.

Mwenyekiti wa Umoja wa Waendesha Pikipiki (Bodaboda) Mkoa wa Mwanza, kwa niaba ya Umoja huo, anawatakia Watanzania wote kila la kheri katika kuumaliza mwaka 2015 na kheri katika kuukaribisha mwaka mpya 2016.

“Mwaka 2016 uwe wenye Baraka na tunamuomba mwenyezi Mungu atuongoze na kutulinda katika kutekeleza majukumu yetu katika kulijenga Taifa letu lenye Amani na Mshikamano, bodaboda ni Usafiri salama, Mungu ibariki Tanzania”. Makoye Kayanda Bunoro, Mwenyekiti bodaboda Mkoa wa Mwanza.
Zaidi Bonyeza HAPA

No comments:

Powered by Blogger.