"MY BIRTH DAY IS LOADING, HII SI YA KUKOSA". MWANAHABARI NA BLOGGER GEORGE BINAGI.
Katika kusherekea Siku yake ya
Kuzaliwa, Mwanahabari na Blogger George Marwa Binagi-GB Pazzo (Pichani) anapenda kuwashirikisha katik
sherehe hiyo.
Itakuwa ni kesho ijumaa (February
26,2016) kuanzia saa kumi na mbili jioni katika Location mtakayojulishwa Jijini Mwanza.
Kutakuwa na Matukio mbalimbali ktk
Siku hiyo hivyo unahimizwa kushiriki hususani ulie Jijini Mwanza.
Ili kushiriki Birth Day hiyo,
unahimizwa kuthibitisha ushiriki wako kwa nambari 0757432694 ili kupewa
utaratibu kamili.
Mwisho wa kuthibitisha ni ijumaa
February 26,2016 saa sita kamili mchana so mnaombwa kuthibitisha kwa nambari hiyo hapo juu!
NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI MNAHIMIZWA
KUSHIRIKI UPENDO WENU NA MTOTO GB PAZZO BILA KUKOSA. HABARI ZAIDI
TEMBELEAbinagimediagroup.blogspot.com KWA PAMOJA TUIJUZE JAMII.
HAPPY BRITH DAY TO U MA FRIEND Mungu akuzidishie maisha marefu ndugu yangu hongela sana
ReplyDelete