MIKAELA PROFESSIONAL TAILORS: EWE MTANZANIA KUWA MAKINI NA UCHUKUE HATUA SASA.
"Alikuja kwetu huku akiwa analia, tena machozi kabisa
yamemjaa usoni. Tukampokea. Tukamuuliza yaliyomsibu. Akaeleza meeengi lakini
lililotuhuzunisha ni fundi mmoja hivi Jijini Mwanza kumshonea nguo ambayo
haikumsitiri alipoenda kuichukua. Mbaya zaidi ilikuwa nguo ya shughuli na
zilikuwa zimebaki siku tatu kabla ya shughuli.
Tukasema haiwezekani, lazima Mikaela Professional Tailor
tuirejeshe furaha yake. Na kweli tukamshonea nguo nzuri tena kwa muda mchache
na akaifurahia. Kiukweli watu wawe makini na mafundi wa nguo". Ni ushuhuda
kutoka MIKAELA PROFESSIONAL TAILORS, Watalaamu wa Ushonaji Jijini Mwanza-0767
68 28 88 Ghana Green View!
No comments: