KAIMU KATIBU MKUU UVCCM TAIFA ATIKISA NGORONGORO MKOANI ARUSHA.
Jana Msafara wa Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka ukielekea katika
Wilaya ya Ngorongoro kwa ajili ya kuendelea na ziara yake ya kikazi.
Kaimu
Katibu Mkuu Shaka Hamdu Shaka (wa nne waliokaa kulia) alipo simama na kuzungumza na Viongozi wa Vijana wa
Kabila la Wamasai katika kijiji cha Ngaraseko
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka azindua shina la wakereketwa wa CCM mara baada ya kuingia kata ya Ngaraseko Mkoani Arusha.
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka (katikati) akisaini pamoja na Mkuu wa utawala UVCCM Taifa Omari
ngw'anagw'alu katika Ofisi kuu za CCM Wilaya ya Ngorongoro
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akipokelewa na Wananchi, mara baada ya kuwasiri
katika uwanja wa mkutano uliofanyika katika kata ya Enguserusambo kijiji cha
Ngw"arwa Wilayani Ngorongoro.
Diwani
wa Kata ya Enguserusambo Ndg:William Palmilia akizungumza na wananchi wa kata
yake mara baada ya mkutano kuanza
Baada ya
kuingia eneo la Mkutano Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka alipewa zawadi ya
Mbuzi Aina ya Beberu na Wananchi wa kijiji cha Ngw"arwa
Pia Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka alipewa Shuka ya kimasai na wananchi wa eneo
hilo ikiwa ni ishara ya kumkaribisha na kwa kufurahia uji wake ndani ya Wilaya
Ya Ngorongoro.
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akiwa amevalia mavazi mavazi ya kimasai
Mwenyekiti
wa Vijana Mkoa wa Arusha Lengai Ole Sabaya akizungumza katika mkutano wa
Hadhara.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akihutubia umati wa Wananchi katika
mkutano wa hadhara katika kijiji cha Ngw"arwa Wilayani Ngorongoro.
Wanawake
wakiimba nyimbo ikiwa ishara ya kufurahishwa na ziara ya Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Shaka H Shaka.
Picha na Fahad Miraji @BMG.
No comments: