LIVE STREAM ADS

Header Ads

NI AJALI AU UZEMBE?

Kulia ni moja ya Mabasi yaendayo kasi yanayofanya safari zake Jijini Dar es salaam. Mabasi haya yanatumia barabara zake na hayachangamani na magari mengine, lakini unaweza kujiuliza ni ajali au uzembe ukikuta ajali kati ya vyombo vingine vya moto (magari) na mabasi hayo.

No comments:

Powered by Blogger.