LIVE STREAM ADS

Header Ads

MAHAFALI YA BROOKHOUSE INTERNATIONAL SCHOOL YA JIJINI DAR ES SALAAM YAVUTIA.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com

Mgeni Rasmi katika mahafali ya Shule ya awali ya Brookhouse International  Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mh. Mhandisi Stella Manyanya akitoa Hotuba kwa wanafunzi pamoja na wageni waalikwa
Mwalimu wa Taaluma wa Brookhouse International School Omega Kessy akitoa neno la utangulizi wakati wa mahafali hayo.
Mwalimu Mkuu wa Sunrise Nursery  and Primary School Bw. Onesphor Vitalis akitoa utambulisho kwa wageni waalikwa waliofika katika Mahafali hayo ya shule ya awali.
Mkurugenzi Mkuu wa Sunrise Nursery and Primary School Bi. Marry Shirima akitoa maelezo ya kina juu ya shule hiyo, kumshukuru mgeni rasmi kufika katika mahafali hayo ya watoto wa shule ya awali pamoja kuwapongeza kwa kuhitimu
Mgeni Rasmi katika mahafali ya Shule ya awali ya Brookhouse International School Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mh. Mhandisi Stella Manyanya akimpa mmoja wa watoto cheti cha kuhitimu Elimu ya awali 
Watoto wahitimu wa Shule ya awali wakiendelea kupokea Vyeti vyao 
Mh. Mbunge wa Jimbo la Kawe Halima Mdee akiwa katika mahafali hayo 
Baadhi ya watoto wahitimu wa shule ya awali  wakipata picha ya pamoja na mgeni rasmi
Mgeni Rasmi katika mahafali ya Shule ya awali ya Brookhouse International School Naibu Waziri wa Elimu Mh. Mhandisi Stella Manyanya  akiadhimisha siku yake ya Kuzaliwa hapa akimlisha keki  Mkurugenzi mkuu wa Shule hiyo Mary Shirima
 Wahitimu wa Shule ya awali wakionesha uwezo wao wa kusoma kwa makini
 Wahitimu wa Shule ya awali wakionesha uwezo wao wakitoa Burudani kwa kucheza moja ya ngoma za asili za hapa Tanzania  
Mshehereshaji katika mahafali hayo Mwalimu Isaria akiendelea kutoa utaratibu wakati wa Sherehe hizo
  Watoto wa  Shule ya awali ya Brookhouse International School ambao wanandoto ya kuja kuwa Marubani wakiwa wanaelezea juu ya ndoto zao
Walimu nao hawakuwa nyuma waliendelea na Burudani 
Baadhi ya wahitimu wa shule ya awali wakiwa katika sherehe yao
Baadhi ya wanafunzi wanaobaki wakiwa katika mahafali hayo
Wazazi wa watoto wanaosoma shule hiyo pamoja na wageni waalikwa wakiwa katika mahafali ya shule ya awali ya Brookhouse.
Picha na Fredy Njeje wa Blogs za Mikoa

No comments:

Powered by Blogger.