WAWAKILISHI WA TANZANIA NDANI YA "YALI 2016" WAZUNGUMZIA KONGAMANO LAO WASHNGTON DC MAREKANI.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Walikuwa wakarimu sana kujiunga nasi Studio na kuzungumza nasi kuhusu mambo mbalimbali
Karibu uwasikilize
Stanley Magesa (mjasiriamali) akifafanua jambo ndani ya studio kuhusu YALI 2016
Aug 3, 2016 tulipata fursa ya kutembelewa na kuhojiana na baadhi ya
Watanzania wanaowakilisha kwenye mkutano wa Mandela Washington
Fellowship - Young African Leaders Initiative (YALI) 2016 waliomaliza
mkutano wao hapa Washington DC Marekani.Walikuwa wakarimu sana kujiunga nasi Studio na kuzungumza nasi kuhusu mambo mbalimbali
Karibu uwasikilize
Heri Emmanuel (kati kutoka Mwanza) akieleza jambo huku Tusekile Mwakalundwa ( Mhadhiri na Mwanasheria kutoka Arusha) akisikiliza kwa makini. Kulia ni Mubelwa Bandio wa Kwanza Production na Vijimambo Radio.
Baadhi ya wawakilishi wa YALI 2016 kutoka Tanzania, wajasiriamali Stanyey Magesa (Mwanza), Simon Malugu (Morogoro) na Lusajo Mwaisaka (Dar) wakiwa kwenye mahojiano Kilimanjaro Studio
Mshiriki wa YALI 2016 Heri Emmanuel (Mwanza) kulia akaifafanua jambo huku akisikilizwa na mshiriki mwenzake ambaye pia ni Mhadhiri na Mwanasheria Tusekile Mwakalundwa (Arusha) na mjasiriamali na Lusajo Mwaisaka (kutoka Dar)
No comments: