BENKI YA POSTA YAJENGA CHOO CHA SHILINGI MILIONI 14 SHULE YA MSINGI PANDE JIJINI TANGA.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Noves Moses katika akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Jengo la Vyoo katika shule ya msingi Pande ambavyo limegharimu kiasi cha sh.milioni 14.5 kushoto ni Afisa Kilimo na Mazingira Jiji la Tanga,Ened Mzava na kulia ni Afisa Elimu Sayansi Kimu, Rukia Magogo
Meneja
Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Noves Moses akizundua Jengo jipya la Choo cha Shule ya
Msingi Pande ambalo wamelijenga.
Meneja
Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Noves Moses pamoja na wageni wengine wakipiga makofi mara
baada ya kulizundua jengo hilo
Meneja
Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Noves Moses kulia akipongezwa na mwalimu mkuu wa shule ya
Msingi Pande,Mathias Anthony mara baada ya kuzindua Jengo la
Choo
Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Noves Moses katikati akielekea kuzindua Jengo hilo
Afisa Elimu Msingi wilaya ya Mkinga,Zakayo Mlenduka akizungumza kwenye halfa hiyo
Meneja
Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Noves Moses wa tatu kutoka kushoto akionyeshwa choo za
zamani ambacho kilibomoka na
Afisa Kilimo na Mazingira
Jiji la Tanga,Ened Mzava wa tatu kulia wakati alipotembelea eneo
hilo
Choo cha zamani ambacho kilikuwa kinatumiwa na wanafunzi wa shule hiyo ambacho kilianguka
Imeandaliwa na Blog ya Kijamii ya Tanga Raha
No comments: