MKUU WA WILAYA YA MUHEZA MKOANI TANGA AWATAKA WAZEE KUWAFICHUA VIJANA WANAOHARIBU MAISHA YA WANAFUNZI.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa wilaya ya
Muheza,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza katika mdahalo wa siku
ya wazee kiwilaya iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri kulia ni
Mwenyekiti wa Chama cha Wazee Muheza
Mwenyekiti wa Chama cha Wazee
wilayani Muheza (UWAWAMU) Seif Athumani akizungumza kushoto ni Mkuu wa
wilaya ya Muheza,Hajati,Mhandisi Mwanasha Tumbo akifuatilia kulia ni
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza,
Baadhi ya Wazee wilayani Muheza wakimsikiliza kwa umakini Mkuu wa wilaya hiyo,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo.
Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi Mwanasha Tumbo
kushoto akigawa zawadi ya sabuni kwa mmoja kati ya wazee wilayani humo
wakati wa siku ya wazee dunia kiwilaya iliyofanyika kwenye ukumbi wa
Halmashauri wilayani humo
Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi
Mwanasha Tumbo kushoto akigawa zawadi ya sabuni kwa mmoja kati ya wazee
wilayani humo wakati wa siku ya wazee dunia kiwilaya iliyofanyika kwenye
ukumbi wa Halmashauri wilayani humo
Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi
Mwanasha Tumbo kushoto akigawa zawadi ya sabuni kwa mmoja kati ya wazee
wilayani humo wakati wa siku ya wazee dunia kiwilaya iliyofanyika kwenye
ukumbi wa Halmashauri wilayani humo
Na mtandao wa kijamii ya Tanga Raha
No comments: