WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI SIMIYU.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Mkuu
wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony J. Mtaka akizungumza na waandishi wa habari juu
ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru, Kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa na
Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Oktoba 14 mwaka 2016, yatakayofanyika mkoani humo.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony J. Mtaka
akizungumza na waandishi wa habari juu ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru,
Kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa na Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Oktoba 14
mwaka 2016, yatakayofanyika mkoani humo.
Na Dixon Busagaga
Baadhi
ya vijana wa Wilaya ya Maswa wakiwa katika zoezi la uzalishaji chaki katika
kiwanda cha kutengeneza chaki kilichopo wilayani humo ambacho kinazalisha chaki
zinazotambulika sokoni kama Mzinazotumika mkoani Simiyu.
Baadhi
ya vijana wa Wilaya ya Meatu wakielekezwa namna ya kupima maziwa na kutambua
maziwa bora yasiyo na maji, katika kiwanda chao cha uzalishaji wa maziwa
yanayotambulika sokoni kama ‘MEATU MILK’
No comments: