Homa ya burudani ndani ya Rock City pale Maisha Basement Club, its all about kipindi cha MDUNDO BANDO cha 102.5 @lakefmmwanza kutambulishwa, ni baada ya kipindi cha MSHIKE MSHIKE kutambulishwa pale Villa Park.
USIKOSEE maana pale kati patakuwa patamu na Nay Wa Mitego. #BMG
BURUDANI KALI TENA JIJINI MWANZA NA MDUNDO BANDO YA LAKE FM.
Reviewed by BMG Media
on
November 21, 2016
Rating: 5
No comments: