LAKE FM YANOGESHA SHINDANO LA DANCE KITAA 2016 JIJINI MWANZA.
Fainali zitafanyika Rock City Mall hivyo endelea kuisikiliza #Rahayarockcity 102.5 Lake Fm Mwanza na kusoma BMG kila siku ili kupata michongo zaidi.
Vijana wa Lake Fm (wawili katikati) pamoja na Waandaaji wa Dance Kitaa 2016 wakiwa kwenye shindano hilo wikendi iliyopita.
No comments: