Zaidi ya watu watano wamepoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya basi la Super Twiga linalofany safari zake mikoa ya Mwanza na Mara kupinduka katika eneo la Nyanguge Magu mkoani Mwanza hii leo asubuhi.
BASI LA SUPER TWIGA LAPATA AJALI MKOANI MWANZA, LAJERUHI NA KUUA.
Reviewed by
BMG Media
on
December 03, 2016
Rating:
5
No comments: