MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM ATIMIZA AHADI ZAKE KWA WAKATI.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Na James Salvatory, BMG Dar
Mkuu wa mkoa wa Dar es saalam, Paulo Makonda, leo amekabidhi vitu mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 164 ikiwa ni ahadi zake kwenye ziara alizofanya mwezi Novemba mwaka huu katika mkoa huo.
Akikabidhi vitu hivyo, amewaahidi waathirika wa madawa ya kulevya ambao wako nyumba za utimamu (Soba Souses), watendaji waliofanya vizuri katika shughuli za maendeleo kwa kuwapa pikipiki, kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) kwa kutoa zawadi ya gari, mama aliyepewa laki mbili kwa ajiri ya mtaji pamoja na kijana aliyepewa milioni moja kwa ajiri ya mtaji wa biashara
Aidha Makonda amekabidhi zawadi ya mabati 2000 kwa ajiri ya sekondari ya Jitegemee na shule ya msingi Annex Mbagala mabati 1000 na shule ya Katoliki kupewa simenti 1000,ametoa tumba kwa ajiri ya bendi ya jeshi.
Kwa upande wao waliopatiwa zawadi hizo kwa ujumla wao wamepongeza juhudi za mkuu huyo wa mkoa kwani ahadio nyingi alizotoa ameweza kuzimiza kabla hata ya mwaka kuisha.
Na James Salvatory, BMG Dar
Mkuu wa mkoa wa Dar es saalam, Paulo Makonda, leo amekabidhi vitu mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 164 ikiwa ni ahadi zake kwenye ziara alizofanya mwezi Novemba mwaka huu katika mkoa huo.
Akikabidhi vitu hivyo, amewaahidi waathirika wa madawa ya kulevya ambao wako nyumba za utimamu (Soba Souses), watendaji waliofanya vizuri katika shughuli za maendeleo kwa kuwapa pikipiki, kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) kwa kutoa zawadi ya gari, mama aliyepewa laki mbili kwa ajiri ya mtaji pamoja na kijana aliyepewa milioni moja kwa ajiri ya mtaji wa biashara
Aidha Makonda amekabidhi zawadi ya mabati 2000 kwa ajiri ya sekondari ya Jitegemee na shule ya msingi Annex Mbagala mabati 1000 na shule ya Katoliki kupewa simenti 1000,ametoa tumba kwa ajiri ya bendi ya jeshi.
Kwa upande wao waliopatiwa zawadi hizo kwa ujumla wao wamepongeza juhudi za mkuu huyo wa mkoa kwani ahadio nyingi alizotoa ameweza kuzimiza kabla hata ya mwaka kuisha.
No comments: