MSANII DARASSA APATA AJALI MBAYA.
Staa wa Hop nchini, anayetamba na ngoma kibao ikiwemo Staki tamaa, Too Much na Muziki, Darassa amepata ajali mbaya ya gari hii leo mkoani Shinyanga.
Katika ajali hiyo iliyotekea Mjini Kahama, Darassa pia alikuwa na muongozaji video nchini, Hanscana. Wote wamenusurika katika ajali hiyo.
BMG/Mtandaoni
No comments: