LIVE STREAM ADS

Header Ads

WADAU GEORGE RAPHAEL NA VICTORIA MOLLEL WAFUNGA PINGU ZA MAISHA JIJINI DAR ES SALAA,

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com



 Bwana harusi, George Raphael (kushoto) na mkewe Victoria Mollel (kulia) wakiwa katika pozi la tabasamu baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa la Ushirika wa Ubungo, Lutherani  Jijini Dar es salaam. Ibada hiyo ya ndoa iliyoongozwa na Mchungaji Godliste  Nkya.
 Bibi harusi, Victoria Mollel katika pozi
  Bwana harusi, George Raphael
 Bwana na Biharusi wakiwa katika pozi baada ya kufunga pingu za maisha
 Maharusi  katika Picha ya familia ya pande zote mblili
 Maharusi na wapambe katika picha ya pamoja
 Pozi kwa pozi
  Victoria Mollel akipunga mkono akiondoka Kanisani baada ya kufunga pingu za Maisha na mpendwa mume wake, George Raphael nakuelekea kupiga picha katika eneo la Chuo Cha Sheria Sinza Jijini Dar es Salaam, ambapo Sherehe ilifanyika katika Ukumbi uliopo hapo hapo katika Chuo hicho
 Maharusi katika pozi wakisaidiwa na wapambe wao kwa kushika shera ya biharusi
 Bwana harusi George Raphael na Victoria Mollel wakiwa katika pozi
 Biharusi, Victoria Mollel katika picha ya pamoja na familia ya pande mbili, kushoto ni mama Mzazi wa Biharusi Victoria Mollel , Julieth Mollel
 Biharusi Victoria Mollel akiwa Saloon
 Wapambe wa maharusi Imanuel Zakayo na mkewe Daisy Mbowe wakiwa katika picha ya pamoja ambao ni mke na mume
  Mchungaji Godliste Nkya akiwakabidhi Cheti cha Ndoa baada ya kufunga pingu za Maisha
Wasaa wa kiapo cha ndoa
 Wazazi na wapambe wakitoka Kanisani baada ya kufunga pingu za maisha
Wasaa wa kulishana keki ishara ya upendo
 Maharusi wakikata Keki
Wapambe wa maharusi katika ubora wao
Picha na Khamis Mussa

No comments:

Powered by Blogger.