WAZIRI LUKUVI ATATUA MIGOGORO YA ARDHI MKOANI KIGOMA.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. Willam Lukuvi akiwa katika ziara ya Utatuzi wa
Migogoro ya Ardhi Mkoani Kigoma amerudisha ardhi iliyokuwa ikimilikiwa na Mzee Shaban
Hussein mkazi wa Machinjioni Kigoma Mjini, ambaye alinyng’anywa na raia wa Congo Bwana Mwenge Muyombi.
No comments: