LIVE STREAM ADS

Header Ads

MASHINDANO YA HABIBU CUP YAMALIZIKA WILAYANI MWANGA.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com

Wageni wa meza kuu wakifurahia jambo wakati wa kuanza kwa fainali ya mashindano ya Habibu cup katika uwanja wa Cleopa Msuya wilayani Mwanga.
Kikosi cha timu ya Kifaru kikipasha misuli joto.
Kikosi cha timu ya Nyerere kikipasha misuli joto.
Mgeni rasmi katika mchezo wa fainali za Mashindano ya Habibu Cup ,Thabit Mndeme akisalimiana na wachezaji wa timu ya Nyerere.
Mgeni rasmi katika mchezo wa fainali za Mashindano ya Habibu Cup ,Thabit Mndeme akisalimiana na wachezaji wa timu ya Kifaru.
Mgeni rasmi katika mchezo wa fainali kati ya timu za sekondari za Nyerere na sekondari ya Kifaru,Thabit Mndeme akizungumza kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali baina ya timu hizo mbili.
Kikundi cha ushangiliaji cha timu ya Nyerere .
Kikundi cha ushangiliaji cha timu ya Kifaru.
Sehemu ya hekaheka katika mchezo huo wa fainali.
Mchezaji wa timu ya Sekondari ya Kifaru akipiga penati iliyopelekea ushindi wa jumla ya bao 5 kwa 3 kwa timu ya Kifaru katika mchezoo wa fainali dhidi ya timu ya sekondari ya Nyerere .
Baadhi ya mashabiki walijitokeza kushuhudia michezo ya fainali katika mashindano hayo.
Mgeni rasmi Zuhura Mndeme akielekea katika uwanja wa mchezo wa Netiboli kwa ajili ya ufunguzi ya kuanzisha fainali ya mchezo huo kati ya timu ya Green Bird Collage na Sekondari ya Usangi Girls Day.
Timu ya Netiboli ya Shule ya sekondari ya Usangi Girls Day
Timu ya Green Bird Collage.
Mgeni rasmi kwa upande wa mchezo wa Netiboli ,Zuhura Mndeme akisalimiana na wachezaji wa timu ya Green Bird Collage.
Mgeni rasmi kwa upande wa Netiboli,Zuhura Mndeme akisalimiana na wachezaji wa timu ya Sekondari ya Usangi Girls Day.
Mwamuzi wa mchezo huo wa fainali akimkaribisha mgeni rasmi Zuhura Mndeme kufungua rasmi mchezo huo wa fainali.
Mgeni Rasmi Zuhura Mndeme akirusha mpira kwenye mlingoti wa goli wakati wa ufunguzi rasmi wa mchezo wa faiali ya Netiboli.
Mchezo wa fainali ukiendelea baina ya timu ya Green Bird Collage na Sekondari ya Usangi Girls Day mchezo uliomalizika kwa timu ya Green Bird kutangazwa malkia mpya wa mchezo huo baada ya kushinda kwa point 17 kwa 15 za Usangi Girls.
Mshindi wa kwanza katika mbio za Habibu Marathon Km 21 Musa Hassan akipokelewa baada ya kuhitimisha mbio katika uwanja wa Cleopa Msuya wilayani Mwanga.
Mshindi wa Pili katika Mbio za Habibu Marathon Peter Michael akihitimisha mbio hizo katika uwanja wa Cleopa Msuya.
Washindi Sita bora katika mbio za Habibu Marathon 2017 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa mbio hizo.
Mgeni rasmi katika mashindano ya Habibu Cup ,Thabit Mndeme akikabidhi kombe la ubingwa wa mashindano hayo kwa Nahodha wa timu ya soka ya Kifaru ,Zuber Zuber mara bada ya timu hiyo kujinyakulia ubingwa wa mashidano hayo kwa mara ya pili mfululizo.
Wachezaji wa timu ya soka ya Kifaru wakishangilia mara baada ya kukabidhiwa Kombe la ubingwa.
Mgeni rasmi katika mashindano ya kumbukumbu ya Habibu Mndeme ,Thabiti Mndeme akimkabidhi kikombe cha umalkia wa mchezo wa netiboli wa timu ya Green Bird Collage .
Mgeni rasmi katika mashindano ya kumbukumbu ya Habibu Mndeme ,Thabiti Mndeme akimvisha medali mshindi wa kwanza wa mbio za Habibu Marathon Km 21 ,Musa Hassan.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Powered by Blogger.