VIDEO: GUMZO LA LAKE FM KWENYE GULIO LA MTAA JIJINI MWANZA.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
102.5 Lake FM Mwanza, #RahaYaRockCity #RedioYaWananzengo jana Mei 26,2017 ilizindua rasmi burudani za Gulio la Mtaa kupitia kampeni yake ya usafi ya Ng'arisha Nzengo Uchafu Nuksi.
No comments: