TEIC 2017 Get Together Party Dodoma
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Mkutano wa wadau wa sekta ya uziduaji
(Madini, Mafuta na Geisi) umetamatika Mjini Dodoma jana, huku baadhi ya maazio
ya mkutano huo yakiwa ni asasi za kiraia kushiriki na kushirikishwa ipasavyo
katika mijadala ya inayohusu manufaa ya rasilimali za taifa.
Baada ya mkutano huo wa siku mbili
kutamatika katika ukumbi wa St.Gasper, ilifuatia hafla ya jioni iliyofanyika
Royal Village Hotel ambapo washiriki kutoka asasi mbalimbali ndani na nje ya
nchi walijumuika pamoja.
Mkutano huo huandaliwa na umoja wa
asasi zinazojihusisha na masuala ya utawala bora nchini uitwayo HakiRasilimali
ambapo asasi hizo ni pamoja na ADLG, Governance Link, HakiMadini na Policy
Forum.
BMG Habari, Pamoja Daima!
No comments: